Kukutana na Jay Z na Beyonce ni suala gumu, kukutana nao na ukashikana nao mikono na kuzungumza mawili matatu nao ni suala gumu zaidi. Lakini bahati hiyo ya mtende imeamuangukia mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo Jumapili hii.

Siamini: Jokate Mwegelo akisalimia na Jay Z huku mtoto wake, Blue Ivy akiamtazama kwa makini. Pembeni yao ni Queen Bey
“So NBA Africa took me courtside and I haaaaaaad to say hello to the Carters,” ameandika Jokate.
“OMG
“Thank you @beylite @balleralert for this pic I couldn’t snap one as I was shocked and still in disbelief.
No comments:
Post a Comment