
Manara ame-post umbe huo kwenye account yake ya Instagram akimuweka Ajib kwenye daraja la juu la watoa burudani hapa Bongo.
“Huyu Ajibu mpira unatii miguu yake, unamuogopa, ndio binadamu aliye hai nchini kwa sasa anayeburudisha jamii kuliko wote kando ya Dimond na Ally Kiba,” ndivyo unavyosomeka ujumbe wa Haji Manara kwenye account yake ya Instagram (hajismanara).
Ajib amekuwa akisifiwa na mashabiki pamoja na wadau wa soka kutokana na aina yake ya kuchezea na kumiliki mpira.

No comments:
Post a Comment