Saturday 1 April 2017

VIDEO: Mtoto mwenywe uwezo wa kujibu maswali papo kwa papo kataja timu na viongozi sasa akaribia tozo


Ikiwa ni siku chache zimepita tangu mtoto Aithamu ataje majina ya viongozi walioteuliwa kufuiatia mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri hususani wizara ya habari,utamaduni,sanaa na michezo na wizara ya sheria na katiba,leo ameelezea jinsi alivyofahamu mabadiliko hayo.
Aitham ambaye ni mzaliwa wa manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ametaja pia timu anazozipenda ikiwa ni pamoja na mtangazaji anayemfahamu Tanzania.
Full video nimekuwekea hapa chini…




No comments:

Post a Comment