Friday 18 August 2017

TAZAMA Mapokezi ya Majeruhi wa ajali ya basi la Wanafunzi, katika uwanja wa ndege KIA



Watanzania wamejitokeza kuwapokea manusura watatu wa ajali ya basi la wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent ya Arusha wakitokea Marekani ambako walikuwa wanapatiwa matibabu.



No comments:

Post a Comment