Thursday 6 April 2017

Hii haikwepeki Mwakyembe Amtaka Makonda Ajibu Maswali 9 ambayo yalipelekea kuvamia kituo cha clouds



Waziri wa Habari, michezo na utamaduni Dr Harrison Mwakyembe amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam ajibu maswali tisa ambayo yalipelekea kuvamia kituo cha habari cha Clouds televisheni, Mh Mwakyembe ameeleza kwamba kitendo cha Makonda kuvamia kituo cha luninga cha Clouds kitendo hicho hakikubaliki, hivyo anapaswa kujibu maswali kadhaa katika kuhoji upande wa pili maana kitendo hicho kimelaaniwa sana na jukwaa la wanahabari Tanzania na wadau wengine wa habari ndani na nje ya nchi.

source Nipashe.


No comments:

Post a Comment