Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania, Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji wa Ajax katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu jana Uwanja wa mazoezi wa The Ajax Future timu hizo zikitoka sare ya 3-3.
Mbwana samatta aonyesha kiwango kizuri zaidi katika mchezo huo hivyo kajiweka katika nafas nzuri
No comments:
Post a Comment