Sunday 16 July 2017

SAMATA AZIDI KUNG'ARA ULAYA KAFANYA MAMBO YA AJABU KATIKA MCHEZO WAO WA JANA DHIDI YA AJAX



Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania, Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji wa Ajax katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu jana Uwanja wa mazoezi wa The Ajax Future timu hizo zikitoka sare ya 3-3.
Mbwana samatta aonyesha kiwango kizuri zaidi katika mchezo huo hivyo kajiweka katika nafas nzuri


No comments:

Post a Comment