Tuesday 14 February 2017

Hizi ni picha 10 za Fahyma, mrembo anayedaiwa kuwa mpenzi wa Rayvanny


Kuna uwezekano mkubwa umeshawahi kusikia tetesi mitaani kuwa mpenzi wa Rayvanny anaitwa Fahyma ambapo kwenye mtandao wa Instagram anatumia jina la @fahyma_. Mrembo huyo pia ameonekana kwenye video ya wimbo wa ‘Kwetu’ ambapo ameonekana kwenye kipande kimoja ambacho alikuwa anaporwa vitu vyake na kibaka na kidogo kwenye wimbo wa ‘Natafuta Kiki’ zote za Rayvanny.

Picha ya Fahyma akiwa mkono wa kushoto, katikati ni Rayvanny na kulia ni Irene
Lakini pia Fahyma ni rafiki mkuwa wa Irene ambaye ndiye alikuwa Queen wa video ya wimbo wa ‘Kwetu’. Katika kuendelea kukuonyesha picha za baadhi ya watu ambao unatakiwa kuwafahamu zaidi tumekuletea picha 10 za mrembo huyo hapa chini ambazo zinamfanya kila kidume kumuweka katika himaya yake.













No comments:

Post a Comment